WAKATI
Mashabiki wa ngumi Ulimwenguni wakitaka mabondia mashuhuri ulimwenguni Manny Pacquiao
apambane na bondia Floyd Mayweather mwaka huu , kila mmoja yaani mabondia hao
wamekuwa katika shughuli tofauti za kijamii.
 |
Manny Pacquiao |
 |
MISS UNIVERSE |
Mfano
bondia Manny Pacquiao alikuwa katika shughuli ya kuwa jaji wiki hii katika
shindano la MISS UNIVERSE ambapo mrembo kutoka COLOMBIA PAULINA VEGA aliibuka
mshindi katika shindano hilo ambalo TANZANIA iliwakilishwa na mrembo NALE
BONIFACE.
MANNY
kwa sasa ana utajiri wa kiasi cha dola milioni MIA TATU na katika shindano hilo
alimuuliza swali mrembo kutoka Marekani NIA SANCHEZ.
Huku
bondia FLOYD MAYWETHER akifuatilia kwa makini pambano la kikapu kati ya LOS ANGELES CLIPPERS ambayo ilikuwa ikicheza na
BROOKLYN NETS katika pambano ambalo mashabiki walipaza sauti wakimwambia
wanamtaka Manny Pacquiao.
 |
FLOYD MAYWETHER |