BEKI wa AC MILAN, Philippe
Mexes amefungiwa michezo minne baada ya kumpiga nahodha wa LAZIO , Stefano
Mauri wakati wa mchezo wa ligi kuu ya SEREA A.Tukio kama hilo linafanana na lile lililotokea hapa nchini siku chache zilizopita kwa mchezaji AMIS TABWE kupigwa na beki wa RUVU SHOOTING.
Mbona mpaka sasa TFF imekaa kimya??






0 comments:
Post a Comment