Pages

Subscribe:

Tuesday, 27 January 2015

Mbona mpaka sasa TFF imekaa kimya??



BEKI wa AC MILAN, Philippe Mexes amefungiwa michezo minne baada ya kumpiga nahodha wa LAZIO , Stefano Mauri wakati wa mchezo wa ligi kuu ya SEREA A.




MEXES ni mchezaji wa kimataifa wa Ufaransa na alitolewa kwa kadi nyekundu na hiyo kadi nyekundi ni ya 16 kupewa mchezaji huyo tangu alipoanza kucheza soka.



Tukio kama hilo linafanana na lile lililotokea hapa nchini siku chache zilizopita kwa mchezaji AMIS TABWE kupigwa na beki wa RUVU SHOOTING.

Mbona mpaka sasa TFF imekaa kimya??

0 comments:

Post a Comment