Pages

Subscribe:

Tuesday, 20 January 2015

Cristiano Ronaldo



Cristiano Ronaldo ‘dating’ Lucia Villalon baada ya kuachana na Irina Shayk


Cristiano Ronaldo imeelezwa kwamba anamwania mtangazaji wa televisheni nchini HISPANIA kufuatia kuachana na mchumba wake Irina Shayk.



Tetesi hizo zimetokana na Cristiano Ronaldo na Lucia Villalon kupiga picha pamoja na LUCIA katika tuzo za BALLON DO aliyoshinda huko ZURICH.



Ronaldo na Lucia


Pia tetesi za kuachana na IRINA ambao walidumu kwa miaka mitano katika mahusiano yao zimetawala katika mitandao ya kijamii.

Lucia akitangaza


IRINA alikosekana katika sherehe hizo za ZURICH .


Ronaldo na Irina

0 comments:

Post a Comment