Pages

Subscribe:

Tuesday, 27 January 2015

Manny Pacquiao vs Floyd Mayweather



WAKATI Mashabiki wa ngumi Ulimwenguni wakitaka mabondia mashuhuri ulimwenguni Manny Pacquiao
apambane na bondia Floyd Mayweather mwaka huu , kila mmoja yaani mabondia hao wamekuwa katika shughuli tofauti za kijamii.

Manny Pacquiao
MISS UNIVERSE
Mfano bondia Manny Pacquiao alikuwa katika shughuli ya kuwa jaji wiki hii katika shindano la MISS UNIVERSE ambapo mrembo kutoka COLOMBIA PAULINA VEGA aliibuka mshindi katika shindano hilo ambalo TANZANIA iliwakilishwa na mrembo NALE BONIFACE.

MANNY kwa sasa ana utajiri wa kiasi cha dola milioni MIA TATU na katika shindano hilo alimuuliza swali mrembo kutoka Marekani NIA SANCHEZ.


 
Huku bondia FLOYD MAYWETHER akifuatilia kwa makini pambano la kikapu kati ya LOS ANGELES CLIPPERS ambayo ilikuwa ikicheza na BROOKLYN NETS katika pambano ambalo mashabiki walipaza sauti wakimwambia wanamtaka Manny Pacquiao.
FLOYD MAYWETHER
 

0 comments:

Post a Comment