Pages

Subscribe:

Sunday, 18 January 2015

Equatorial Guinea



Afcon 2015: kocha wa Equatorial Guinea Becker akiri udhaifu katika kikosi chake.

Kocha wa timu ya taifa ya Equatorial Guinea , Esteban Becker anaamini kwamba kikosi chake kimekosa matayarisho ya michuano ya AFCON baada ya kulazimishwa sare na CONGO BRAZAVILLE katika mchezo wa ufunguzi.



Sare hiyo ni ya kufungana goli 1-1 na EQUTORIAL GUINEA iliweza kumiliki kukaa na goli iliyoipata mapema wakati wa mchezo huo lakini katika dakika ya 87 goli hilo lilisawazishwa.

Kocha wa EQUTORIAL GUINEA, Esteban Becker aliteuliwa kushika wadhifa wa kuwa kocha mkuu wa timu hiyo zikiwa zimesalia siku 11 kuanza kwa fainali hizo.

0 comments:

Post a Comment