Pages

Subscribe:

Sunday, 18 January 2015

Aubameyang 'Nataka kuwa tishio '



Afcon 2015: Aubameyang 'Nataka kuwa tishio '


Mchezaji nyota wa timu ya taifa ya GABON na klabu ya ujerumani ya BORRUSSIA DOTMUND , Pierre-Emerick Aubameyang ametangaza kuwa matarajio yake ni kutaka kuwa mfalme wa soka barani Afrika.

Pierre-Emerick Aubameyang
Baada ya timu yake ya taifa ya BUKINAFASO kupata ushindi wa kwanza huku goli la kwanza likifungwa na PIERRE mwenyewe amesema ataendelea kucheza katika kiwango cha juu na hata kumfikia Didier Drogba na Samuel Eto'o. 
 Group A


Team Played Goal Difference Points

Gabon 1 2 3

Equatorial Guinea 1 0 1

Congo 1 0 1

Burkina Faso 1 -2 0

 

0 comments:

Post a Comment