Pages

Subscribe:

Sunday, 25 January 2015

EQUTORIAL GUINEA YAENDA ROBO FAINALI NA CONGO

TIMU za EQUTORIAL GUINEA na CONGO BRAZAVILLE zimetinga robo fainali huku kocha wa E.Guinea , Esteban Becker akiwa ni mtu mwenye furaha baada ya kuifikisha timu hiyo hatua hiyo huku yeye akikabidhiwa timu siku 11 kabla ya kuanza kwa mashindano hayo.
Kocha wa E.Guinea , Esteban Becker

0 comments:

Post a Comment