![]() |
Kocha wa E.Guinea , Esteban Becker |
Sunday, 25 January 2015
EQUTORIAL GUINEA YAENDA ROBO FAINALI NA CONGO
TIMU za EQUTORIAL GUINEA na CONGO BRAZAVILLE zimetinga robo fainali huku kocha wa E.Guinea , Esteban Becker akiwa ni mtu mwenye furaha baada ya kuifikisha timu hiyo hatua hiyo huku yeye akikabidhiwa timu siku 11 kabla ya kuanza kwa mashindano hayo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment